Sunday 3 October 2010

LIGI KUU ENGLAND: Kwenda ‘vakesheni’ kwa Wiki 2 kupisha EURO 2012 na Kalenda ya Kimataifa ya FIFA
Baada ya mechi za Jumapili Oktoba 3, LIGI KUU inakwenda ‘holidei’ kupisha michuano ya Kimataifa kwa mujibu wa Kalenda ya FIFA ambayo imeweka Oktoba 8 na wikiendi yake pamoja na Oktoba 12 mahsusi kwa mechi za Kimataifa kama vile za Ulaya, EURO 2012, Kombe la Mataifa ya Afrika, na ya Mabara mengine Duniani.
Ligi Kuu itarudi tena dimbani wikiendi ya Oktoba 16.
RATIBA
Jumamosi, 16 Oktoba 2010
[Saa za Bongo]
[Saa 11 Jioni]
Arsenal v Birmingham
Bolton v Stoke
Fulham v Tottenham
Man Utd v West Brom
Newcastle v Wigan
Wolverhampton v West Ham
[Saa 1 na nusu usiku]
Aston Villa v Chelsea, 17:30
Jumapili, 17 Oktoba 2010
Everton v Liverpool, 13:30
Blackpool v Man City, 16:00
Jumatatu, 18 Oktoba 2010
Blackburn v Sunderland, 20:00

No comments:

Powered By Blogger